Friday 22 February 2013

Mahitaji


Mag mbili za unga Wa ngano

Sukari nusu kikombe kidogo.

Backing powder kipakti kimoja.

Mafuta ya kula nusu kikombe kidogo.

Yai moja

Maji mag moja/Ila unaweza tumia hata maziwa


Namna ya kupika.

Weka unga ktk bakuli 

Pasha mafuta yako moto yakipata mimina ktk unga,changaya tumia kijiko au mwiko vikichanganyika weka Yai lako changaya,weka sukari na backing powder changaya mimina maji au maziwa taratibu.

Kanda unga wako hadi uchanganyike wote hakikasha unga wako sio mgumu sana wala mlaini sana.

Ukiwa tayari uache kwa lisaa limoja utakuwa umeumuka.kata ma donge yako sukuma Ila sio sana kata halfcake zako mikato unayotaka wewe.

Bandika kikangio jikoni weka moto mdogo ili ziweze kuiva vizuri ndani.

Unaweza kutumia kwa chai,maziwa au soda













5 comments:

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!