Friday 22 February 2013



hiki ni kinywaji kama vile unavykunywa soda,ila dafu unakunywa na nyama za ndani.
faida za dafu ni kusafisha kibofu hivi ndio nilikuwa nikiambiwa na marehemu mama yangu.
Ila nitajitahidi kutafuta faida kitaaalamu zaidi.

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!