Wednesday 5 November 2014


Mahitaji 

Ngisi kiasi

Chumvi nusu kijiko cha chai

Pilipili mtama 1/2 kijiko cha chai

Nyanya fresh moja 

Ndimu/limao nusu kipande

Pilipili hoho 1/2kwa kila rangi

Maji ya mag mbili 


Jinsi ya kupika safisha ngisi wako vizuri weka katika sufuria bandika jikoni weka Chumvi na pilipili mtama wacha ngisi watajitoa maji yakikauka weka maji na ndimu,pilipili hoho na Nyanya fresh moja wacha vichemke kwa dk kumi epua supu yako tayari .

Unaweza kula kwa mkate,chapati


    Supu ikiwa tayari 

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!