Thursday 18 February 2016

Mahitaji
Unga wa ngano 250g
Butter 250g
Mayai 9
Baking powder kijiko cha chai1
kuku wa kusaga 2cups
Chumvi kijiko cha chai 1
Sukari 1/3cup
Kungu manga 1/2 kijiko cha chai(sio lazima)
Mdalasini kijiko cha chai 1
Curry powder kijiko cha chai 1
Kitunguu swaumu kijiko cha chai 1
Tangawizi kijiko cha chai 1
Chicken stock kijiko 1/2 cha chai
Pilipili mtama 1/2 kijiko cha chai
Ndimu/limau moja
Pilipili hoho 1/2 kila rangi

Jinsi ya kupika
Muoshe kuku wako vizuri as iwe na ngozi muweke viungo vyote mbandike jikoni isipokuwa usiweke pilipili hoho.
Mwache achemke na hayo Maji yakikauka muweke pembeni apoe.
Kama utakuwa haujapata kuku wa kusaga umechemsha kuku mzima basi akipoa mnyambue nyambue au msage katika blender,muweke pembeni.
Saga siagi na sukari pamoja na mayai 3,yakichanganyika weka unga na baking powder.
Ikichanganyika vizuri weka katika chombo cha kuchomea,chukua kuku wako  changanya na mayai 3 mimina juu ya ule unga wako wa keki uliopo katika chombo cha kuchomea,halafu piga Yale mayai matatu yaliyobakia ya changanye na pilipili hoho miminia juu.
Weka katika oven moto 350.

1 comment:

  1. Water Hack Burns 2 lb of Fat OVERNIGHT

    Over 160 thousand women and men are using a easy and SECRET "liquid hack" to burn 1-2 lbs every night as they sleep.

    It is very simple and it works every time.

    Here's how to do it yourself:

    1) Take a glass and fill it up with water half full

    2) Proceed to do this crazy HACK

    and you'll become 1-2 lbs skinnier the next day!

    ReplyDelete

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!